MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI
WA WAKALA WA MAJENGO
• ELIMU KWA
MUELIMISHAJI;YATAMBUE HAYA KABLA HUJAANZA MAJADILIANO
• Kuishi na UKIMWI si jambo rahisi kwa sababu ni kitu kinachotia hofu kubwa miongoni mwa jamii
MAFUNZO…
• 1. Inaweza kumpa hisia mgonjwa ndio mwisho wa maisha yake kwa kutoweza kuyakabili maisha endapo tu atajuwa ana tatizo
• Inaweza kumfanya mtu awe na
wasiwasi kuhusu uwezo wake wa
MAFUNZO…
• 2. kuanza kuogopa kifo na kumpelekea • kutokupenda kazi, kutokuwa na
matumaini,
• kukata tama na kuamini kuwa maisha hayana thamani tena
• na kuamua hata kujiua au kuambukiza watu wengine kwa makusudi nife na
MAFUNZO…
• Ila kwa kupata elimu sahihi haya yote hayatakuwepo
• Mtu ataishi maisha ya kawaida endapo atafika katika vituo vya tiba na kupata tiba sahihi
• Ikiwemo kutibu magonjwa nyemelezi,
dawa za kupunguza makali ya ongezeko la virusi na kuongeza kinga ya mwili.
Ukimwi mahali pa kazi
• Kudhibiti maambukizo ya maradhi yangono
• Utangazaji na usambazaji wa kondomu • Unasihi na upimaji wa hiari wa UKIMWI
• Uzuiaji wa uambukizo wa VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto
• Watu wawe wazi, wasaidiwe na
wasaidiane, sheria, kanuni na taratibu za kazi zijulikane na zifuatwe
Ukimwi mahali pa kazi
• Kila mtu afahamu haki zake za ajira na gharama za matibabu zinazotolewa na mwajiri.
• Unyanyasaji unatokana na kutofahamu ukweli kuhusu ukimwi
• Kuwaelimisha wafanyakazi wenzako kutawasidia kujifunza kuishi na watu
wenye virusi vya UKIMWI kwa UTU na ni njia mojawapo ya kupunguza
Mambo muhimu ya kufahamu
• 1 Ukweli kuhusu ukimwi
• VVU vinavyoshambulia kinga ya mwili na athari zake
• Umuhimu wa kujua afya yako
• Magonjwa nyemelezi yanayohusiana na UKIMWI
• Njia za maambukizi na imani potofu • Matibabu ya Mgonjwa wa UKIMWI
Lishe Bora
• -Umuhimu wake-Aina ya lishe bora • Afya na usafi
-Mwili, mavazi na malazi
-Kuimarisha afya ni pamoja na mabadiliko ya tabia kwa makundi maalum ya watu
Kujamiana
Ni hatua muhimu katika mapambano dhidi ya UKIMWI
• Unatakiwa kufikiri nini unapokutana kimwili • Uanze vipi kulinda afya yako, kwa kujipima
au kwa kujiamini
• Je kutumia kondom ni kutoaminiana • Tabia zipi hazina usalama
• Ufanyeje ukitaka kufunga ndoa? • Magonjwa ya zinaa na athari zake
Kujali familia
• Ni pamoja na kuongea nao kuhusu afya yako
• Kama ni muathirika lazima uwe wazi kwao • Uiandaaje familia wakati wa matatizo
• Nani ashirikishwe na nani wa kutoa msaada
• Kujiunga na vikundi mbalimbali vya
wanaoishi na VVU kama vile SHIDEPHA ( SERVICE HEALTH AND DEVELOPMENT FOR PEOPLE LIVING WITH HIV/AIDS)
Jamii na uchumi
• Jishughulishe katika kuongeza kipato
• Usiwe mnyonge wa mawazo na fikra duni za kusaidiwa tu
• Jiunge katika vikundi mbalimbali vya wajasiria amali
• Pata ushauri mbalimbali kwa ndugu ,jamaa na marafiki
Mirathi na wosia
• Matayarisho kwa watu wote• Sajili kihalali uliza na fuata taratibu • Ndoa na rasilimali, watoto, wake • Nini cha kuandika
MAISHA KWANZA
• WEWE BINAFSI• Familia • Marafiki
• Wengine walioathirika na VVU • Jamii kwa ujumla
• Dini na imani zina nafasi yake katika
kumuweka sawa mgojnwa wa UKIMWI, kwa kiwango gani na kitu gani ni muhimu kuzingatiwa katika maisha
Dira ya taifa
• (Tanzania bila ya UKIMWI inawezekana) -Kuwa na jamii ambayo watoto wetu
waweza kukua bila ya tishio la VVU na UKIMWI
-Kuwajali na kuwasaidia ambao
wameambukizwa na kuathiriwa na VVU na UKIMWI
-kuweka mikakati ya pamoja , ikiwemo mafunzo elekezi
UKIMWI
• Kifupisho cha maneno:-• Upungufu Wa Kinga Mwilini
• Mkusanyiko wa magonjwa yanayotokana na kudhoofika kwa nguvu za kinga ya
mwili kujikinga na maradhi • Kunakosababishwa na V V U
Virusi Vya UKIMWI (VVU)
• Ni vimelea vidogovidogo,vinavyodhoofisha na kufanya mwili
kupoteza uwezo wake wa kupambana na maradhi
• Kawaida miili yetu hukingwa dhidi ya maradhi na chembechembe nyeupe za damu (WBC)
• VVU vikiingia mwilini hushambulia
Virusi Vya UKIMWI (VVU)…
• Vinapatikana katika damu• Majimaji mbalimbali yanayotoka kwenye mwili
• Na viungo vya uzazi vya wanawake na wanaume wenye maambukizo
• Njia kuu ya kueneza virusi hivi,hasa katika Bara la Afrika
Virusi Vya UKIMWI (VVU)…
• Njia nyingine-ni kutoka kwa mama mjamzitomwenye VVU kumwambukiza mtoto wakati akiwa tumboni
-au wakati wa kumnyonyesha
• Pia huambukizwa kwa kuongezewa damu yenye virusi hivyo
• Kuchangia vifaa vyenye mabaki ya damu kama sindano, mikasi, wembe n.k
Njia zifuatazo haziambukizi VVU
• Kushikana mikono na mtu mwenye VVU • kuishi pamoja na mtu mwenye VVU
• Kushiriki kula chakula pamoja na mtu wa VVU
• Kugusana au kukumbatiana na mwenye VVU
• Kushirikiana bafu na mwenye VVU
• Kuumwa na mbu, viroboto au wadudu wengine
Dalili za UKIMWI
• Hakuna njia ya hakika ya kutambua mtu aliyeambukizwa VVU zaidi ya vipimo vya maabara
• Watu wanaoishi na VVU wanaweza
kuonekana wazima na wasionyeshe dalili zozote za ugonjwa
• Hata hivyo pamoja na kutokuonyesha dalili zozote
Virusi Vya UKIMWI (VVU)…
• Mtu huyu mwenye VVU anawezakuambukiza watu wengine ikiwa atakuwa na mahusiano yasiyo salama
• UKIMWI ni hatua ya mwisho ya maambukizi ya VVU
• Hatua hii ikifikiwa
• Mwathirika huanza kushambuliwa na
Dalili za UKIMWI
• Kupungua uzito asilimia 10 au zaidi katika mwezi mmoja, bila sababu inayoeleweka • Kuharisha muda mrefu (mwezi 1au zaidi) • Homa za mara kwa mara
• Utando mweupe mdomoni • Kikohozi cha muda mrefu • Mkanda wa jeshi
Dalili…
• Vipele sugu, vyenye kuwasha hasa mikononi na miguuni
• Mgonjwa akiwa na dalili zaidi ya tatu • Uwezekano wa kuwa na UKIMWI ni
mkubwa
• Hata hivyo
• vipimo vya maabara vinahitajika kuthibitisha ugonjwa wa UKIMWI
Jinsi ya kuzuia maambukizi ya VVU
• Ni muhimu jamii ielimishwe umuhimu wa kupima afya zao na kuchukua hatua
zinazostahili;
• 1. jinsi ya kuzuia maambukizi ya vvu yanayotokana na kujamiiana
-kutokujamiiana kabisa (kugunga, abstinence)
-kuwa na mpenzi mmoja muaminifu na asiye na uambukizo (be faithful)
Njia za kuzuia……
-Kujamiiana kwa kutumia kondomu ya kike au ya kiume kwa usahihi na wakati wote
• 2. Jinsi ya kuzuia maambukizi kwa mtoto mchanga
-wanawake wajawazito na waume zao
wahudhurie kliniki ili kupima na kufahamu afya zao
Njia za kuzuia……
• Wanawake wanaobainika kuwa na VVU hupatiwa maelekezo jinsi ya kumkinga mtoto kupata maambukizi kwa njia ya dawa za ART
• Kuhimiza kujifungulia hospitali ili mtoto apatiwe dawa za kumkinga na
maambukizi mara tu anapozaliwa
• Ushauri kuhusu muda wa kunyonyesha na lishe mbadala
Njia za kuzuia……
• Jamii kwa ujumla ishirikishwe kutoamsaada wa hali na mali
• kuwawezesha wakina mama
walioambukizwa VVU kutimiza masharti ya kuzuia maambukizi
Njia za kuzuia……
• Jinsi ya kuzuia maambukizi ya VVU wakati wa kutoa huduma
-watoa huduma wawe waangalifu wakati wa kuwahudumia wagonjwa na kuzingatia mambo yafuatayo
-kuvaa mipira ya mikononi endapo mtoa huduma au mpokea huduma ana
Njia za kuzuia……
• Kuvaa mipira kabla ya kugusa nguo au vifaa vyenye damu, matapishi, mkojo au
kinyesi cha mgonjwa na mgonjwa aelezwe kabla ya kufanya hivyo
• Nguo au vifaa vyenye damu au maji maji mengine ya mgonjwa
• Viwekwe kwenye maji ya moto
Njia za kuzuia……
• Vilowekwe kwenye JIC kwa dakika 20-30 kabla ya kufua/kuosha
• Mhudumu afue/asafishe vifaa hivyo akiwa amevaa mipira ya mikononi
• Taratibu za kutuma mabaki yasiyohitajika yafuatwe ,kuchoma au kutumbukizwa
Njia za kuzuia……
• Viffa vyenye ncha kali vilivyotumika wakati wa kumhudumia mgonjwa wa UKIMWI na • Ambavyo vinaweza vikatumika tena
vilowekwe kwenye JIC halafu vichemshwe • Vile ambavyo havitatumika tena,
vitumbukizwe kwenye choo cha shimo
• Mhudumu aoshe mikono kwa sabuni kabla na mara baada ya kumuhudumia mgonjwa
Njia za kuzuia……
• Ni muhimu wahudumu wapime nakufahamu afya zao, ili kujiweka
katika mazingira mazuri ya kujikinga na maambukizi ya VVU